Mbunge wa Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) amepata ajali mbaya ya
barabarani wilayani Hanang’ baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na
basi la abiria.
Ajali hiyo imetokea muda mfupi uliopita wakati Mh. Sugu akielekea Arusha. Taarifa zinadai Mh. mbunge hajadhurika!
No comments:
Post a Comment