Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Saturday, January 26, 2013

Ofisa wa TRA Arusha akichukua rushwa waziwazi!

Ofisa wa TRA Arusha akipokea rushwa toka kwa mteja ili aweze kumhudumia.
Ofisa huyu yupo mapokezi (reception) na inadaiwa ni kawaida yake kupokea Rushwa na
 kuwa usipompa anadai kwa nguvu.
 

No comments: