Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Monday, January 28, 2013

Gesi isiondoke mpaka serikali iiweke wazi mikataba yote kwa wananchi!

Kutoka Baraza Kuu la CHADEMA - Diamond Jubilee

Serikali iende ikae na wananchi na kuwasikiliza ili waridhiane. Kila kitu kisitishwe kwa sasa hadi maridhiano yawepo.
Kinana ni mmojawapo wa Wakurugenzi wa ARTUMA imebainika Kinana na CCM wananufaika na mikataba hii. Wawekezaji wanakaribishwa lakini wawe makini na mikataba ya kifisadi
Wanachama wa CHADEMA katika Picha - Diamond Jubilee


No comments: