Vitendo vya wizi wa nishati ya
umeme katika Manispaa ya Kinondoni vimeendelea kujitokeza ambapo baadhi
ya wafanyabishara wa maduka wa Mtaa wa Kinondoni wamekuwa na tabia ya
kujiunganishia umeme kinyume na taratibu za shirika hilo na
kulisababishia hasara shirika hilo kama ilivyodhihirika pale maafisa wa
shirika hilo walipokamata baadhi ya wafanyabishara hao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment