![]() |
Kigogo akionekana amelala wakati Bunge linaendelea |
Huyu ni mmoja kati ya vigogo wanaongoza kwa kulala Bungeni na sio kuchangia mada wakati wa Bunge likiwa linaendelea. Je? tujiulize wakati madaktari wakilalamika kutimiza
mahiataji muhimu tunashindwa kuwatimiza, ila tunaweza kuwaongezea
misharaha, posho pamoja na marurupu mengine viongozi
wanaoenda kulala Bungeni na sio kuwasilisha mawazo
ya wananchi walio muagiza huko.
No comments:
Post a Comment