Msikiti mkongwe uliojengwa katika
karne ya 14 Milaadia unaopatikana katika pwani ya Kenya umerudishwa
chini ya umiliki wa Waislamu baada ya mzozo wa muda mrefu kati ya
Waislamu na kuhusu mmiliki halali wa ardhi
ya msikiti huo.
Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga
ameikabidhi kamati ya msikiti huo vyeti 2 vya kumiliki ardhi na
kutangaza kuwa serikali ya Nairobi imebatilisha cheti cha kumiliki ardhi
kilichoko mikononi mwa Mzee Moi.
Msikiti huo unaojulikana kwa jina la ambao inasemekana
ulijengwa katika karne ya 14 Milaadia, unapatikana kwenye kaunti ya
Kwale mjini Diani.
Waislamu wameishukuru serikali kwa kuchukua hatua hiyo walioitaja kuwa ni heshima kubwa kwa matukufu ya dini yao.
No comments:
Post a Comment