Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Monday, July 1, 2013

Baadhi ya Picha za Msafara wa Rais wa Marekani - Barrack Obama kuja nchini Tanzania

Ndege ya Jeshi la Marekani iliyokuja katika msafara wa Obama kwa kazi ya kujaza mafuta kwenye Air Force One
Jiji la Dar es Salaam lilivyo busy katika harakati za kumpokea Rais wa Marekani Barrck Obama
Helkopta atakayoitumia Rais Barack Obama wakati wa ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania
Jiji limependeza na Mabango ya picha za Rais wa Marekani

No comments: