Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Sunday, September 23, 2012

Zanzibar: Wavutao sigara mkusanyikoni kwenda jela

Muswada wa kupiga marufuku uvutaji wa sigara kwenye mkusanyiko wa watu uko njiani kupelekwa katika Baraza la Wawakilishi, Zanzibar. Muswada huo ukipita, mtu yoyote atakayebainika kuvuta sigara kwenye umati wa watu, kuhukumiwa kifungo cha siku saba au faini ya shilingi laki mbili na nusu

No comments: