Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

Friday, June 1, 2012

Uwekezaji wa muda mrefu utaisaidia Somalia iibuke upya

Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Balozi Augustine Mahiga ametoa wito wa uwekezaji zaidi katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
Akizungumza Alhamisi katika kongamano la pili la kimataifa kuhusu Somalia huko Istanbul Uturuki, Mahiga amesema kunapaswa kushuhudiwa mabadiliko katika misaada ya kimataifa kwa taifa la Somalia ambapo kipaumbele kinapaswa kupewa familia, jamii na taasisi za ndani ya nchi ili suluhisho la muda mrefu lipatikane.
Kikao hicho ambacho ni cha pili kufanyika Istanbul kimewaleta pamoja wawakilishi wa sekta binafsi, viongozi wa Somalia, wafadhili, Umoja wa Mataifa na jumuiya za kijamii. Lengo la mkutano huo limetajwa kuwa ni kusaidia ujenzi mpya wa Somalia na mchakato wake wa

No comments: