Huyu ndiye mtoto wa ajabu ambaye amezaliwa na viuongo vya ajabu zikiwemo sehemu za siri kichwani.
Wadau tunaomba radhi kwa picha zifutazo kama zitakukwaza.
Unacho ona kama kidole (picha ya juu kushoto) ni sehemu ya siri ya mwanaume na juu ya Paji la uso ni sehemu ya siri ya Mwanamke. Sehemu zingine mbili za jinsia tofauti ziko ambako sehemu za siri hukaa. Mtoto huyu amezaliwa katika Hospitali ya Songea wiki iliyo pita, Hivi sasa watu wana miminika kwenda kumuona mtoto huyo wa ajabu katika hospitali ya Songea Mkoani Ruvuma.
No comments:
Post a Comment