SAKATA la wimbi la viongozi wa vyama vya siasa nchini kujiunga na Chadema, limeendelea mkoani hapa baada ya Makamu Mwenyekiti mstaafu wa TLP, Tanzania Bara, Westgate Rumambo kujiunga na chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Babati hivi karibuni, Rumambo alisema amejiunga Chadema baada ya kubaini ndicho chama pekee kinachotetea wanyonge.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Babati hivi karibuni, Rumambo alisema amejiunga Chadema baada ya kubaini ndicho chama pekee kinachotetea wanyonge.





