Kwa upande wake Ramtane Lamamra Mkuu wa Kamisheni ya Usalama na Amani ya Umoja wa Afrika amesema, umoja huo unapanga kuchukua hatua zaidi za kurejesha amani na uthabiti huko Somalia. Hayo yanajiri kali hali ambayo, hali ya kibinaadamu nchini Somalia inaripotiwa kuwa mbaya hasa kutokana na upungufu mkubwa wa chakula unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
Monday, July 16, 2012
Umoja wa Afrika waeleza matumaini yake ya kuundwa serikali mpya ya Somalia hivi karibuni
Kwa upande wake Ramtane Lamamra Mkuu wa Kamisheni ya Usalama na Amani ya Umoja wa Afrika amesema, umoja huo unapanga kuchukua hatua zaidi za kurejesha amani na uthabiti huko Somalia. Hayo yanajiri kali hali ambayo, hali ya kibinaadamu nchini Somalia inaripotiwa kuwa mbaya hasa kutokana na upungufu mkubwa wa chakula unaoikabili nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
Posted by
AO Secretarial & Technology Supplies
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment