Amesema, msimamo wa Afrika Kusini kuhusiana na kadhia ya Palestina unatokana na msingi wa tajiriba ya kihistoria ya nchi hiyo ambayo huko nyuma imewahi kuonja chungu ya dhulma na ubaguzi. Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini ameongeza kuwa, tangu mwaka 1995, nchi yake imekuwa ikiitambua rasmi serikali ya Palestina na kwamba, ingali iko bega kwa bega na jamii ya kimataifa kuhakikisha Wapalestina wanapata haki zao za kimsingi likiwemo la kuwa na nchi yao huru. Amesema, Afrika Kusini inapinga vikali kuzingirwa Gaza, hatua ambayo imezuia kufikishiwa wananchi hao huduma muhimu.
Monday, July 16, 2012
Afrika Kusini yasisitiza juu ya kuunga mkono kuasisiwa nchi huru ya Palestina
Amesema, msimamo wa Afrika Kusini kuhusiana na kadhia ya Palestina unatokana na msingi wa tajiriba ya kihistoria ya nchi hiyo ambayo huko nyuma imewahi kuonja chungu ya dhulma na ubaguzi. Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afrika Kusini ameongeza kuwa, tangu mwaka 1995, nchi yake imekuwa ikiitambua rasmi serikali ya Palestina na kwamba, ingali iko bega kwa bega na jamii ya kimataifa kuhakikisha Wapalestina wanapata haki zao za kimsingi likiwemo la kuwa na nchi yao huru. Amesema, Afrika Kusini inapinga vikali kuzingirwa Gaza, hatua ambayo imezuia kufikishiwa wananchi hao huduma muhimu.
Posted by
AO Secretarial & Technology Supplies
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment