Thabo Mbeki rais wa zamani wa Afrika Kusini ambaye ni mpatanishi wa Umoja wa Afrika katika mgogoro wa nchi hizo mbili wiki hii alikutana na Marais wa nchi hizo katika jitihada za kufufua mazungumzo hayo.
Friday, May 25, 2012
Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kuanza mazungumzo wiki ijayo
Thabo Mbeki rais wa zamani wa Afrika Kusini ambaye ni mpatanishi wa Umoja wa Afrika katika mgogoro wa nchi hizo mbili wiki hii alikutana na Marais wa nchi hizo katika jitihada za kufufua mazungumzo hayo.
Posted by
AO Secretarial & Technology Supplies
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment