Magaidi ambao wanapata misaada ya hali na mali kutoka nchi kadhaa za Kiarabu ikiwemo Saudi Arabia, siku za hivi karibuni wameshadidisha mashambulizi makali ya kigaidi, ili kwa njia hiyo wapate kuionyesha nchi hiyo kuwa haina usalama wa ndani.
Sunday, June 17, 2012
Watu 8 wauawa na makumi kadhaa wajeruhiwa katika mripuko wa bomu nchini Iraq
Magaidi ambao wanapata misaada ya hali na mali kutoka nchi kadhaa za Kiarabu ikiwemo Saudi Arabia, siku za hivi karibuni wameshadidisha mashambulizi makali ya kigaidi, ili kwa njia hiyo wapate kuionyesha nchi hiyo kuwa haina usalama wa ndani.
Posted by
AO Secretarial & Technology Supplies
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment