Takriba watu nusu milioni wamekimbilia mataifa jirani baada ya kundi
jipya la waasi wa Tuareg kuanzisha mashambulio dhidi ya vikosi vya
serikali wiki iliyopita.
Kwa mujibu wa umoja wa mataifa takriban watu 1000 wanavuka mpaka wa Mali na kuingia katika mataifa jirani kila siku.
Hii inafanya idadi ya watu waliolazimika kuishi maisha ya ukimbizi nchini mwao na wale wanaokimbilia mataifa jirani kufikia takriban watu 125,000.
Kwa mujibu wa umoja wa mataifa takriban watu 1000 wanavuka mpaka wa Mali na kuingia katika mataifa jirani kila siku.
Hii inafanya idadi ya watu waliolazimika kuishi maisha ya ukimbizi nchini mwao na wale wanaokimbilia mataifa jirani kufikia takriban watu 125,000.







No comments:
Post a Comment