Aidha mashtaka hayo yameitaka serikali ya Juba kuheshimu kikamilifu mamlaka ya ardhi ya Sudan. Mashtaka hayo yamewasilishwa katika hali ambayo Umoja wa Mataifa umearifiwa kuwa serikali za Juba na Khartoum zinatarajia kukutana siku ya Jumanne mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mazungumzo ya kutatua mgogoro uliopo kati ya nchi mbili hizo. Mgogoro kati ya Sudan na Sudan Kusini ulianza baada ya vikosi vya serikali ya Juba kuvamia eneo la Heglig ambalo ni mali ya Sudan.
Saturday, May 26, 2012
Sudan yawasilisha mashtaka UN dhidi ya Sudan Kusini
Aidha mashtaka hayo yameitaka serikali ya Juba kuheshimu kikamilifu mamlaka ya ardhi ya Sudan. Mashtaka hayo yamewasilishwa katika hali ambayo Umoja wa Mataifa umearifiwa kuwa serikali za Juba na Khartoum zinatarajia kukutana siku ya Jumanne mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mazungumzo ya kutatua mgogoro uliopo kati ya nchi mbili hizo. Mgogoro kati ya Sudan na Sudan Kusini ulianza baada ya vikosi vya serikali ya Juba kuvamia eneo la Heglig ambalo ni mali ya Sudan.
Posted by
AO Secretarial & Technology Supplies
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment